GNB SWAHILI 1500 EAT
Dec 08, 2016, 11:11 AM
Share
#GNBSwahili: Matangazo mitandaoni ya vyakula na vinywaji vilivyo na viwango vya juu vya mafuta na sukari yamepigwa marufuku nchini Uingereza ili kuwalinda watoto dhidi ya unene kupindukia. Sikiliza.
